iqna

IQNA

Ed husic
Waislamu Australia
TEHRAN (IQNA)- Bw. Ed Husic na Bi. Anne Aly ambao wamekuwa mawaziri wa kwanza Waislamu katika historia ya Australia, wanatambua umuhimu wa kuteuliwa kwao na wanasisitiza kwamba wanaangazia sasa kutumia majukumu haya kuleta mabadiliko katika maisha ya Waaustralia.
Habari ID: 3475325    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/02